Dkt. Edward Kija kutoka MUHAS akitoa hotuba kuu (Keynote Address) kuhusu mada ya “Magonjwa Adimu: Zaidi ya Unavyoweza Kufikiria” wakati wa kongamano la kisayansi lililofanyika katika Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS
Washiriki wa Kongamano la Kisayansi la Magonjwa Adimu wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo.
Washiriki wa Kongamano la Kisayansi la Magonjwa Adimu wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo.
Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe, akishuhudia Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof. Emmanuel Balandya, akipokea hundi ya shilingi milioni 100 kutoka kwa Ali Kimara Rare Diseases Foundation. Msaada huo unalenga kuimarisha tafiti za kisayansi katika mapambano dhidi ya magonjwa adimu nchini.
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo MUHAS, Prof. Emmanuel Balandya na Mwanzilishi Mwenza wa Ali Kimara Rare Disease Foundation, Sharifa Mbarak wakionesha mikataba mara baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yatakayolenga kuimarisha jitihada za utafiti, elimu na utoaji huduma katika mapambano dhidi ya magonjwa adimu
Mganga Mkuu wa Serikali kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) pamoja na jopo la wataalamu walioongoza mjadala katika Kongamano la Kisayansi kuhusu Magonjwa Adimu lililofanyika chuoni hapo.
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa akitoa neno la ukaribisho katika sherehe ya ufungaji wa Wiki wa Ubunifu iliyofanyika chuo hapo
Washiriki wakifuatilia kwa makini sherehe ya ufungaji wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika katika Chuo cha MUHAS, tukio lililowakutanisha wabunifu, watafiti na wanafunzi kuonesha mawazo na bunifu zinazochochea maendeleo katika sekta ya afya na sayansi
Washiriki wakifuatilia kwa makini sherehe ya ufungaji wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika katika Chuo cha MUHAS
Prof. David Ngassapa, mwandishi wa vitabu vya Anatomia, akionesha moja ya vitabu vyake mara baada ya kuzinduliwa rasmi na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar, wakati wa Wiki ya Ubunifu MUHAS. Tukio hilo linaonesha mchango wa wataalamu wa MUHAS katika kuendeleza elimu na ubunifu katika sekta ya afya.
Makamu Mkuu wa Chuo, MUHAS, Prof. Appolinary Kamuhabwa, pamoja na Mkurugenzi wa CRDB Foundation, Ms. Tully Mwambapa, wakionesha mkataba mara baada ya kusaini makubaliano ya kushirikiana kuwezesha na kuendeleza bunifu za wanafunzi wa MUHAS, hatua inayolenga kuimarisha ubunifu, utafiti na suluhisho za kisayansi katika sekta ya afya
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu, Mkurugenzi wa CRDB Bank, na Uongozi wa MUHAS mara baada ya kufunga Wiki ya Ubunifu MUHAS iliyofanyika chuoni hapo.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakurugeni, Wakuu wa Skuli mara baada ya kufunga Wiki ya Ubunifu MUHAS iliyofanyika chuoni MUHAS
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Tafiti na Ushauri wa Kitaaluma), Prof. Bruno Sunguya, akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Bunifu pamoja na wabunifu kutoka MUHAS mara baada ya kutembelea mabanda ya wabunifu wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo.
Wadau wa Ubunifu walioshiriki katika Wiki ya Ubunifu MUHAS wakionesha bidhaa zao kwa wananchi waliotembelea banda lao
Mwanafunzi mbunifu kutoka MUHAS akielezea ubunifu wake kwa wageni waliotembelea banda la Chuo wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo
Wananchi wakipata maelezo kuhusu bidhaa zinazotengenezwa na Taasisi ya Dawa Asili wakati wa Wiki ya Ubunifu MUHAS
Mwanafunzi mbunifu kutoka MUHAS akielezea ubunifu wake kwa wageni waliotembelea banda la Chuo wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo
Previous slide
Next slide
STUDY AT MUHAS
- Announcements
- Short Course in Applied Behaviour Analysis ( ABA) Training
- Tangazo La Kuitwa Kazini
- A Call for Applicants: MSc Neonatology Fellowship Program 2026/2027
- Tangazo la Kuitwa Kazini
- Vacancy Announcement – Re-Advertisement
- Call for Small Grant Proposals – Senselet Tanzania Project
- Tangazo Kuitwa Kwenye Usaili 2
- Tangazo Kuitwa Kwenye Usaili 1
- 2nd MUHAS Consultancy Bootcamp
- Short Course Announcement on Postgraduate Supervision
- Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili 2
- Teaching Methodology Course for Educational and Health Care Professionals
- Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili - MUHAS
- Grant Writing Essentials Short Course
- Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili
- Systematic Reviews and Meta-Analysis Short Course
- Biosafety Cabinet Certification Course
- Vacancy Announcement - Fair Choices on the Path to Universal Health Coverage (UHC) Project
- A Call for Application - Pediatric Hematology & Oncology Fellowship Program
- Call for Applications for PhD scholarships - NORAD funded Project
- Vacancy Announcement - Clinical Officers and Assistant Nurse Officers
- Vacancy Announcement - Business Administrative Officer II
- Vacancy Announcement - Pharmaceutical Technician
- Vacancy Announcement - Research Administrator Officer
- Basic Critical Care and Basic Emergency Care Course
- Advertisement for Clinician Researchers - Cancer Research Training Program in Tanzania
- Short Course Advert for Chemical Hazards in the Work Environment
- Open Call for Applications: Fully Funded International Summer School (ISS) – University of Oslo, Norway 2026
- Vacancy Announcement - MUHAS MoH Knowledge Translation Hub
- Basic Nutrition for Kidney Diseases Short Course
- A call for Training Workshop on Scientific Writing and Communication (23rd to 27th February 2026) DOCETHA
- A Call for Training Workshop on Systematic Reviews (6th to 10th April 2026)
- Unlocking Research Potentials: Comprehensive Workshop on Navigating Scholarly Electronic Databases and Reference Management
- Palliative Care For Health And Social Welfare Professionals
- Hemodialysis Course For Healthcare Providers
- Short Course In Practical Electrocardigraphy (ECG)
- Short Course In Basic Echocardiography
- Call for Applications for Postgraduate Degree Studies for the Academic Year 2026/2027
- New Computer Lab for Undergraduate Students
- Extension of the Deadline for Registration for 20252026
- East African Centre of Excellence for Cardiovascular Sciences Project (PHASE 11) : Extension of the Call for Proposals
- Junior Faculty Small Grants Program
- Appointment of the Deputy Vice Chancellor- Research and Consultancy
- Weight Loss Management Short Course
- Call for Proposals: East African Centre of Excellence for Cardiovascular Sciences Project ( Phase 11)
- Almanac For SIDA- Supported Short Course
- News
-
Upcoming Conferences
- Upcoming ShortCourse

MUHAS YACHAPISHA VITABU VIPYA VYA ANATOMIA KUBORESHA UFUNDISHAJI WA UDAKTARI TANZANIA
Katika kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vitabu vya tiba na ugumu wa lugha kwa wanafunzi, MUHAS) kwa

MUHAS YAANDAA KONGAMANO LA KISAYANSI LA MAGONJWA ADIMU: ” MAGONJWA ADIMU: ZAIDI UNAVYOWEZA KUFIKIRIA”
Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimefanya Kongamano la Kisayansi la Magonjwa Adimu tarehe 4 Machi 2026 likiwa na kaulimbiu

ADVANCING HEALTH INNOVATION FOR NATIONAL TRANSFORMATION: MUHAS HOSTS THE SUMMIT OF THE SECOND INNOVATION WEEK
The Second Innovation Week Summit at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), held on 27 February 2026, marked a

- Frequently Downloads
- SSL VPN Request Form
- East Africa’s Centres of Excellence in Skills and Tertiary Education in Biomedical Sciences Project Phase II Project ESMP mandatorily annexed to the Financing Agreement FA.
- ESIA REPORT- CARDIAC TEACHING HOSPITAL
Environmental and Social Impact Assessment Report For Kigoma Campus(ESIA Report)
- Environmental and Social Impact Assessment Report For Mloganzila Campus(ESIA Report)
- Trip Authority Form
- The Amne Salim Covid-19 Research Fund Dissemination Symposium
- MUHAS Research Excellence Award Guidelines
- Payee Registration
- Imprest Form
- Petty Cash Form
- Procurement Form
- Kanuni Za Bunge
- Annual Report
- Prospectus, ByLaws & Guidelines
- Policies & Plan Documents
- MUHAS News Letter
- Local Travel Form
- Research Integrity&Conflict Of Interest Guidelines
- Student Assessment Book