Kongamano la 12 la Kisayansi la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Mloganzila Kampasi Kibamba) Mgeni Rasmi: Mh. Prof. Carolyne Nombo,Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.
Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akitoa hotuba ya ufunguzi wa Kongamano la 12 la Kisayansi la MUHAS
Prof. Anna Kessy akipokea tuzo ya shukrani kwa utumishi wake wa muda mrefu kwenye makongamano ya kisayansi ya MUHAS
Makamu Mkuu wa Kwanza wa MUHAS, Prof. Kisali Pallangyo akipokea tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wake kwenye upatikanaji, maono na maendeleo ya Mji wa MUHAS wa Mafunzo na Tiba
The Representative of the 11 organizations selected by WHO as Non-State Actors in a group photo with Representative of the WHO in Tanzania other dignitaries during the MOU Signing Ceremony
Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la 12 la Kisayansi la MUHAS kwenye picha ya pamoja Mgeni Rasmi na Meza Kuu.
Mkuu wa Idara ya Magonjwa na Ajali MUHAS, Dkt. Said Kilindimo akitoa maelezo kwa mgeni rasmi wakati alipotembelea kwenye maonesho ya vifaa va kutumia wakati wa huduma za dharura na ajali.
Previous slide
Next slide

STUDY AT MUHAS

SEARCH COURSE PROGRAMME