Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknoloji Prof. Adold Mkenda akisalimiana na Prof. Karim Manji mara ya kuwasili chuoni kwa ajili ya Hafla fupi ya Kumpongeza Prof. Manji
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa akitoa salamu za ukaribisho katika hafla fupi ya kumpongeza Prof. Karim Manji
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Dkt. Harrison Mwakyembe akitoa salamu za pongezi katika hafla fupi ya kumpongeza Prof. Karim Manji iliyofanyika chuoni MUHAS
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akiangalia baadhi za tuzo ambazo Prof. Manji aliwahi kupata kabla ya kuanza rasmi hafla fupi ya kumpongeza
Prof. Karim Manji akielezea mafanikio yake kwa ufupi katika sherehe ya kumpongeza iliyofanyika chuoni MUHAS
Wageni waalikwa katika hafla fupi ya kumpongeza Prof. Karim Manjil iliyofanyika chuoni MUHAS
Wageni waalikwa wakifatilia hotuba fupi ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda katika hafla fupi ya kumpongeza Prof. Karim Manji
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akimkabidhi tuzo ya kumpongeza Prof. Karim Manji katika halfa fupi iliyofanyika chuoni MUHAS.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akimpongeza Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa kwa kuandaa halfa fupi ya kumpongeza Prof. Karim Manji
Hafla ya Kumpongeza Prof. Karim Manji iliyofanyika chuoni MUHAS
Participants during Startup School Workshop held at MUHAS
Participants following up discussion during Startup School workshop held at MUHAS
MUHAS Coordinator Innovation Unit Dr. Nelson Masota in a group photo with CEO Sahara Ventures Mr. Jumanne Mtambalike during Startup School Workshop held at MUHAS
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo MUHAS, Prof. Emmanuel Balandya (Kulia) na Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Akili Mirembe, Dkt. Paul Lawala (kushoto) wakisaini mkataba wa ushirikiano katika kufundisha, kufanya tafiti na Huduma za Ushauri wa kiutaalamu kati ya MUHAS na Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo MUHAS , Prof. Emmanuel Balandya ( Kulia) na Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe( kushoto), Dkt. Paul Lawala wakionyesha mikataba baada ya hafla fupi ya utiaji saini iliyofanyika chuoni MUHAS
Previous slide
Next slide

STUDY AT MUHAS