MUHAS Vice Chancellor, Prof. Appolinary Kamuhabwa, in a group photo with representatives from Imperial College London, the Ministry of Health, and the MUHAS delegation, following the signing ceremony of a Memorandum of Understanding in the United Kingdom
MUHAS Vice Chancellor, Prof. Appolinary Kamuhabwa, shakes hands with a representative from the University of Oxford following the signing of a Memorandum of Understanding at the Tanzania High Commission in the UK.
MUHAS Vice Chancellor, Prof. Appolinary Kamuhabwa, signs a Memorandum of Understanding with a representative from the University of Oxford aimed at focusing on cancer research, clinical training, and artificial intelligence in diagnostics
Washiriki wa Kongamano la Kisayansi la Magonjwa Adimu wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mgeni Rasmi wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo.
Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo MUHAS, Prof. Emmanuel Balandya na Mwanzilishi Mwenza wa Ali Kimara Rare Disease Foundation, Sharifa Mbarak wakionesha mikataba mara baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yatakayolenga kuimarisha jitihada za utafiti, elimu na utoaji huduma katika mapambano dhidi ya magonjwa adimu
Mganga Mkuu wa Serikali kutoka Wizara ya Afya, Dkt. Grace Magembe, akiwa katika picha ya pamoja na Menejimenti ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) pamoja na jopo la wataalamu walioongoza mjadala katika Kongamano la Kisayansi kuhusu Magonjwa Adimu lililofanyika chuoni hapo.
Makamu Mkuu wa Chuo, Prof. Appolinary Kamuhabwa akitoa neno la ukaribisho katika sherehe ya ufungaji wa Wiki wa Ubunifu iliyofanyika chuo hapo
Washiriki wakifuatilia kwa makini sherehe ya ufungaji wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika katika Chuo cha MUHAS, tukio lililowakutanisha wabunifu, watafiti na wanafunzi kuonesha mawazo na bunifu zinazochochea maendeleo katika sekta ya afya na sayansi
Washiriki wakifuatilia kwa makini sherehe ya ufungaji wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika katika Chuo cha MUHAS
Prof. David Ngassapa, mwandishi wa vitabu vya Anatomia, akionesha moja ya vitabu vyake mara baada ya kuzinduliwa rasmi na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Mohamed Omar, wakati wa Wiki ya Ubunifu MUHAS. Tukio hilo linaonesha mchango wa wataalamu wa MUHAS katika kuendeleza elimu na ubunifu katika sekta ya afya.
Makamu Mkuu wa Chuo, MUHAS, Prof. Appolinary Kamuhabwa, pamoja na Mkurugenzi wa CRDB Foundation, Ms. Tully Mwambapa, wakionesha mkataba mara baada ya kusaini makubaliano ya kushirikiana kuwezesha na kuendeleza bunifu za wanafunzi wa MUHAS, hatua inayolenga kuimarisha ubunifu, utafiti na suluhisho za kisayansi katika sekta ya afya
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu, Mkurugenzi wa CRDB Bank, na Uongozi wa MUHAS mara baada ya kufunga Wiki ya Ubunifu MUHAS iliyofanyika chuoni hapo.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Hussein Omar akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakurugeni, Wakuu wa Skuli mara baada ya kufunga Wiki ya Ubunifu MUHAS iliyofanyika chuoni MUHAS
Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Tafiti na Ushauri wa Kitaaluma), Prof. Bruno Sunguya, akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Bunifu pamoja na wabunifu kutoka MUHAS mara baada ya kutembelea mabanda ya wabunifu wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo.
Wadau wa Ubunifu walioshiriki katika Wiki ya Ubunifu MUHAS wakionesha bidhaa zao kwa wananchi waliotembelea banda lao
Mwanafunzi mbunifu kutoka MUHAS akielezea ubunifu wake kwa wageni waliotembelea banda la Chuo wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo
Wananchi wakipata maelezo kuhusu bidhaa zinazotengenezwa na Taasisi ya Dawa Asili wakati wa Wiki ya Ubunifu MUHAS
Mwanafunzi mbunifu kutoka MUHAS akielezea ubunifu wake kwa wageni waliotembelea banda la Chuo wakati wa Wiki ya Ubunifu iliyofanyika chuoni hapo
Previous slide
Next slide
STUDY AT MUHAS
- Career
-
Training
- Scholarship/Grants/Awards
| Title |
|---|
| Title |
|---|
-
14 Jun 2026 Strategic Projects & Institutional DevelopmentMUHAS PRESENTS HEET PROGRESS AT THE NATIONAL COORDINATORS’ MEETING -
30 May 2026 Staff, Student & Campus LifeMUHAS MD4 STUDENTS COMMUNITY MEDICINE FIELD VISIT TO MSD TANZANIA -
29 May 2026 Strategic Partnerships & International EngagementMUHAS SIGNS MoU WITH SOUTHERN MEDICAL UNIVERSITY OF CHINA -
29 May 2026 Research, Training & Scientific EngagementENVIRONMENTAL AND OCCUPATIONAL HEALTH EXPLORES FLEXIBLE LEARNING OPTIONS -
29 May 2026 Community Engagement & Social ImpactEYE CARE OUTREACH REACHES 664 RESIDENTS IN KILOSA -
29 May 2026 Strategic Partnerships & International EngagementMUHAS HOSTS TDA AND WORLD DENTAL FEDERATION DELEGATION -
28 May 2026 Strategic Projects & Institutional DevelopmentHEET PIU REVIEWS PROGRESS OF COLLEGE OF MEDICINE CONSTRUCTION -
28 May 2026 Research, Training & Scientific EngagementMUHAS HOSTS REGIONAL TRAUMA TRAINING COURSE -
26 May 2026 University NewsMUHAS SCHOOL OF NURSING CONDUCTS CLINICAL PRECEPTORSHIP AND SUPERVISION WORKSHOP
14th MUHAS SCIENTIFIC CONFERENCE
Start date: July 1, 2026
End date: July 3, 2026
All-day event
Location: East Africa Centre of Excellence for Cardiovascullar Sciences, Mloganzila Campus, Dar es Salaam.
- Frequently Downloads
- SSL VPN Request Form
- East Africa’s Centres of Excellence in Skills and Tertiary Education in Biomedical Sciences Project Phase II Project ESMP mandatorily annexed to the Financing Agreement FA.
- ESIA REPORT- CARDIAC TEACHING HOSPITAL
Environmental and Social Impact Assessment Report For Kigoma Campus(ESIA Report)
- Environmental and Social Impact Assessment Report For Mloganzila Campus(ESIA Report)
- Trip Authority Form
- The Amne Salim Covid-19 Research Fund Dissemination Symposium
- MUHAS Research Excellence Award Guidelines
- Payee Registration
- Imprest Form
- Petty Cash Form
- Procurement Form
- Kanuni Za Bunge
- Annual Report
- Prospectus, ByLaws & Guidelines
- Policies & Plan Documents
- MUHAS News Letter
- Local Travel Form
- Research Integrity&Conflict Of Interest Guidelines
- Student Assessment Book
MUHAS STATS 2025- 2026
0
Academic Staff
0
Undergraduate Programmes
0
Postgraduate Programmes
0
Administrative Staff
0
Undergraduate Students
0
Postgraduate Students