VIONGOZI WA MUHASSO WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NDAKI YA TIBA MLOGANZILA

Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHASSO) kimefanya ziara maalumu ya kutembelea maendeleo ya ujenzi wa Ndaki ya Tiba unaoendelea katika Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Ziara hiyo iliratibiwa na Dkt. Hussein Mohhamed kutoka Kitengo cha Mazingira […]
MUHAS KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA FACT MISSION YA UJERUMANI KUWEZESHA WANAFUNZI WA KIKE WENYE UHITAJI MAALUM KUSOMEA FANI ZA UPASUAJI

Chuo kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Taasisi kutoka Ujerumani Fact Finding Mission wamekutana na kufanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia vijana wa kike wenye mahitaji maalumu kuweza kusomea taaluma mbalimbali za upasuaji yaani (surgery). Lengo la Kikao hicho kilikuwa ni kujadili maeneo ya […]
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA WIZARA YA ELIMU YAVUTIWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NDAKI YA TIBA MLOGANZILA

Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetembelea eneo la ujenzi wa Ndaki ya Tiba katika Kampasi ya Mloganzila, ikiwa ni sehemu ya kufuatilia maendeleo ya mradi huo mkubwa wa kitaifa wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET ). Ziara hiyo ililenga kukagua […]

The MUHAS Vice Chancellor, Prof. Appolinary Kamuhabwa, officially opened a special health camp that provided free medical services to Tanzanian citizens as part of the activities leading up to the laying of the foundation stone for the construction of the College of Medicine under the Higher Education for Economic Transformation (HEET) Project. At the […]
MUHAS HEET TEAM MEETS UBUNGO DISTRICT COMMISSIONER AHEAD OF FOUNDATION STONE CEREMONY

On February 21, 2025, the Deputy Coordinator of the MUHAS HEET Project, accompanied by members of the Project Implementation Unit, paid a courtesy visit to the newly appointed Ubungo District Commissioner, Hon. Lazaro Twange. The purpose of the visit was to brief him on the ongoing construction of the College of Medicine at the […]
MUHAS HEET PROJECT ESIA TEAM ENGAGES KWEMBE WARD LEADERS AHEAD OF FREE HEALTH CAMP

On February 22, 2025, The Environmental and Social Impact Assessment (ESIA) team under the MUHAS HEET project convened a strategic meeting with Kwembe Ward leaders at Mloganzila to discuss the upcoming free health screening camp. The meeting brought together members of the ward’s development committee, local government officials, neighborhood leaders, ward council representatives, the Ward […]