MUHAS YAPOKEA GARI LA PILI KUWEZESHA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA HEET

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika utekelezaji wa maeneo saba ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) kimepokea gari la pili la aina ya Coaster kati ya magari manne yatakayo nunuliwa na mradi wa HEET kwa lengo la kurahisisha utekelezaji wa shughuli za mradi huo […]
MUHAS YAPOKEA GARI KURAHISISHA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA HEET

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika utekelezaji wa maeneo saba ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) kimepokea gari la kwanza la aina ya Land Cruiser Hardtop kati ya magari manne yatakayo nunuliwa na mradi wa HEET kwa lengo la kurahisisha utekelezaji wa shughuli za […]
VICE PRESIDENT IMPRESSED BY MUHAS KIGOMA CAMPUS DESIGNS

The Vice President of the United Republic of Tanzania, Dr. Philip Isdor Mpango, commended the Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) for their excellent preparatory work towards the construction of the MUHAS Kigoma Campus under the Higher Education for Economic Transformation (HEET) project. The Vice President made […]
WABUNIFU KUTOKA MUHAS WAPATIWA ELIMU KUHUSU HAKI MILIKI ZA BUNIFU ZAO

Wabunifu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS) wamepatiwa mafunzo kuhusu umuhimu wa kulinda maslahi ya bunifu zao, kutunza rejista za usajili wa kazi za kibunifu ili kupata uthibitisho wa umiliki ( copy right clearence) na kulinda kazi zao. Akizungumza na wabunifu kutoka MUHAS, Afisa Haki Miliki […]
MUHAS HEET PIU YAFANYA MAPITIO YA MWAKA YA UTEKELEZAJI WA MRADI

Kitengo cha utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET PIU) cha Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimefanya Kikao Kazi cha mapitio ya mwaka ya utekelezaji wa mradi (Annual Project Implementation Review Workshop) tarehe 20 – 24 Mei, 2024, Morogoro. Katika ufunguzi wa Kikao Kazi […]
KAMATI YA DAWATI LA UKATILI WA JINSIA MUHAS YAPATIWA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO

MUHAS kupitia mradi wa HEET imeandaa warsha ya siku tano ya mafunzo yenye lengo la kuwajengea uwezo Mratibu na wajumbe wa kamati ya dawati la Ukatili wa Kijinsia (Gender Based Violence – GBV Desk) wa kusimamia na kusaidia uanzishaji na uendeshaji wa dawati la Jinsia la Taasisi ya Elimu ya Juu. […]