MAKAMU MKUU WA CHUO AFUNGUA RASMI KAMBI YA UCHUNGUZI WA MAGONJWA YA MOYO

        Katika juhudi za kuimarisha huduma za afya kwa jamii, kuongeza uelewa kuhusu magonjwa ya moyo, na kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili ya Kituo cha Umahiri wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimefanya ufunguzi rasmi wa Kambi ya Uchunguzi wa […]