KAIMU MWENYEKITI NA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO MUHAS WATEMBELEA MIRADI YA CHUO KAMPASI YA MLOGANZILA

Kaimu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( MUHAS) Bi. Marsha Macatta- Yambi pamoja na wajumbe wa Baraza hilo wametembelea miradi ya ujenzi ambayo chuo inaendelea kutekeleza kupitia mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Uchumi ( HEET) katika Kampasi ya Mloganzila. […]
MUHAS SIGNS A MoU WITH SAPIENZA UNIVERSITY

Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) has signed a Memorandum of Understanding (MoU) with Sapienza University of Rome, Italy, during the IV Tanzania-Italy Business and Investment Forum at the Julius Nyerere International Convention Centre (JNICC) in Dar es Salaam. The partnership aims to foster joint research in priority areas […]