MUHAS YACHAPISHA VITABU VIPYA VYA ANATOMIA KUBORESHA UFUNDISHAJI WA UDAKTARI TANZANIA

              Katika kukabiliana na changamoto ya uhaba wa vitabu vya tiba na ugumu wa lugha kwa wanafunzi, MUHAS) kwa kushirikiana na Mhadhiri wake, Prof. David Ngasapa, wamechapisha vitabu vya anatomia ili kuboresha uelewa wa wanafunzi na kuwawezesha kufanya rejea wanapokuwa kwenye mafunzo ya kliniki. Akizungumza na waandishi wa habari […]

ADVANCING HEALTH INNOVATION FOR NATIONAL TRANSFORMATION: MUHAS HOSTS THE SUMMIT OF THE SECOND INNOVATION WEEK

        The Second Innovation Week Summit at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), held on 27 February 2026, marked a defining moment for Tanzania’s healthcare innovation journey. Under the theme “Advancing Innovation in Healthcare: Nurturing, Connecting and Protecting Solutions for Better Health,” the event brought together government leaders, academics, innovators, […]

KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU ATEMBELEA KITUO CHA UMAHIRI WA MAGONJWA YA MOYO NA MISHIPA YA DAMU– MLOGANZILA, AJIONEA VIFAA VYA KISASA NA TEKNOLOJIA YA AKILI MNEMBE (AI)

      Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo amefanya ziara katika Kituo cha Umahiri wa Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kilichopo Kampasi ya Mloganzila na kujionea uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kufundishia vya kisasa na matumizi ya […]