KAMATI YA DAWATI LA UKATILI WA JINSIA MUHAS YAPATIWA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO

MUHAS kupitia mradi wa HEET imeandaa warsha ya siku tano ya mafunzo yenye lengo la kuwajengea uwezo Mratibu na wajumbe wa kamati ya dawati la Ukatili wa Kijinsia (Gender Based Violence – GBV Desk) wa kusimamia na kusaidia uanzishaji na uendeshaji wa dawati la Jinsia la Taasisi ya Elimu ya Juu. […]
UTIAJI SAINI MKATABA WA KUANDAA USANIFU NA USIMAMIZI WA UJENZI WA MAJENGO NA MIUNDOMBINU KATIKA KAMPASI YA MLOGANZILA

Katika mwendelezo wa utekelezaji wa mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi “HEET – Project” Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili kimesaini mkataba na Kampuni ya ARQES AFRICA kwa ajili ya kuandaa usanifu na usimamizi wa ujenzi wa majengo na miundombinu katika kampasi ya Mloganzila . 15 Desemba 2023
GRADUATION 2023 ARRIVALS GUEST OF HONOR

Hon. Abeid Karume (former president of Zanzibar) arriving at MUHAS 2023 for Graduation Ceremony