MUHAS KIGOMA CAMPUS CONSTRUCTION PROGRESS REVIEWED IN SITE MANAGEMENT MEETING

        On January 7, 2025, MUHAS held a site management meeting to review the progress of the ongoing construction of its Kigoma Campus. The meeting was chaired by the Vice Chancellor, Prof. Appolinary Kamuhabwa who emphasized the importance of adhering to the original project timeline and ensuring compliance with all contractual obligations. […]

MKUU WA CHUO ATEMBELEA MUHAS

          Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof. David Mwakyusa, ametembelea MUHAS kwa lengo la kujitambulisha na kufahamiana na uongozi wa Chuo baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kushika wadhifa huo mnamo Novemba 27, 2024. Katika ziara […]

MUHAS YAPOKEA GARI LA PILI KUWEZESHA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA HEET

        Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika utekelezaji wa maeneo saba ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) kimepokea gari la pili  la aina ya Coaster kati ya magari manne yatakayo nunuliwa na mradi wa HEET kwa lengo la kurahisisha utekelezaji wa shughuli za mradi huo […]

MUHAS YAPOKEA GARI KURAHISISHA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA HEET

          Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) katika utekelezaji wa maeneo saba ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mabadiliko ya Kiuchumi (HEET) kimepokea gari la kwanza la aina ya Land Cruiser Hardtop kati ya magari manne yatakayo nunuliwa na mradi wa HEET kwa lengo la kurahisisha utekelezaji wa shughuli za […]

VICE PRESIDENT IMPRESSED BY MUHAS KIGOMA CAMPUS DESIGNS

            The Vice President of the United Republic of Tanzania, Dr. Philip Isdor Mpango, commended the Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) for their excellent preparatory work towards the construction of the MUHAS Kigoma Campus under the Higher Education for Economic Transformation (HEET) project. The Vice President made […]

WABUNIFU KUTOKA MUHAS WAPATIWA ELIMU KUHUSU HAKI MILIKI ZA BUNIFU ZAO

          Wabunifu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili (MUHAS) wamepatiwa mafunzo kuhusu umuhimu wa kulinda maslahi ya bunifu zao, kutunza rejista za usajili wa kazi za kibunifu ili kupata uthibitisho wa umiliki ( copy right clearence) na kulinda kazi zao. Akizungumza na wabunifu kutoka MUHAS, Afisa Haki Miliki […]