MUHAS YAANDAA KONGAMANO LA KISAYANSI LA MAGONJWA ADIMU: ” MAGONJWA ADIMU: ZAIDI UNAVYOWEZA KUFIKIRIA”

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimefanya Kongamano la Kisayansi la Magonjwa Adimu tarehe 4 Machi 2026 likiwa na kaulimbiu isemayo “Magonjwa Adimu: Zaidi ya Unavyoweza Kufikiria”. Kongamano hilo limewakutanisha wataalamu wa afya, watafiti, watunga sera, wawakilishi wa wagonjwa pamoja na wadau mbalimbali kujadili changamoto na fursa zilizopo katika kushughulikia […]
ADVANCING HEALTH INNOVATION FOR NATIONAL TRANSFORMATION: MUHAS HOSTS THE SUMMIT OF THE SECOND INNOVATION WEEK

The Second Innovation Week Summit at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS), held on 27 February 2026, marked a defining moment for Tanzania’s healthcare innovation journey. Under the theme “Advancing Innovation in Healthcare: Nurturing, Connecting and Protecting Solutions for Better Health,” the event brought together government leaders, academics, innovators, […]
15TH MUHAS RESEARCH DISSEMINATION SYMPOSIUM: BRIDGING GLOBAL COMMITMENTS WITH LOCAL ACTIONS IN ORAL HEALT

The Permanent Secretary of the Ministry of Health, Dr. Seif Shekalaghe, officially opened the 15th MUHAS University-Wide Research Dissemination Symposium on October 15, 2025, at the Muhimbili Campus. The event brought together scholars, policymakers, researchers, students, and partners under the theme: “Global Commitments into Local Actions: Advancing Oral Health within Universal Health […]
MUHAS EXTENDS GRATITUDE TO TİKA FOR STRENGTHENING HEALTH TRAINING, RESEARCH, AND SERVICE PARTNERSHIPS

The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) has expressed sincere appreciation to the Turkish Cooperation and Coordination Agency (TIKA) for their longstanding support in advancing health training, research, and services at the university. During a farewell meeting with the Coordinator of TIKA Dar es Salaam at the end of […]
MUHAS AND CBE SIGN PARTNERSHIP TO FOSTER ACADEMIC AND RESEARCH COLLABORATION

The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) and the College of Business Education (CBE) today signed a Memorandum of Understanding (MoU) aimed at strengthening collaboration in education, research, and community engagement. The agreement establishes a framework for interdisciplinary cooperation between the two institutions, recognizing the mutual benefits of […]
MHE. BALOZI MBERWA KAIRUKI NA WADAU WATEMBELEA MUHAS KUJADILI UWEKEZAJI MLOGANZILA

Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimepokea wageni wa heshima kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini Uingereza akiwemo Mhe. Balozi Mbelwa Kairuki; Mkurugenzi Mtendaji wa Mkapa Foundation, Dkt. Ellen Mkondya; na Mkadiriaji Gharama za Majenzi kutoka Kampuni ya IP Group, Bw. Issack Peter. Wageni hao walitembelea chuo kwa lengo […]