VIONGOZI WA MUHASSO WATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NDAKI YA TIBA MLOGANZILA

Viongozi wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHASSO) kimefanya ziara maalumu ya kutembelea maendeleo ya ujenzi wa Ndaki ya Tiba unaoendelea katika Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Ziara hiyo iliratibiwa na Dkt. Hussein Mohhamed kutoka Kitengo cha Mazingira […]
MUHAS KUSHIRIKIANA NA TAASISI YA FACT MISSION YA UJERUMANI KUWEZESHA WANAFUNZI WA KIKE WENYE UHITAJI MAALUM KUSOMEA FANI ZA UPASUAJI

Chuo kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Taasisi kutoka Ujerumani Fact Finding Mission wamekutana na kufanya mazungumzo ya namna ya kuwasaidia vijana wa kike wenye mahitaji maalumu kuweza kusomea taaluma mbalimbali za upasuaji yaani (surgery). Lengo la Kikao hicho kilikuwa ni kujadili maeneo ya […]
TIMU YA WATAALAMU KUTOKA WIZARA YA ELIMU YAVUTIWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA NDAKI YA TIBA MLOGANZILA

Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetembelea eneo la ujenzi wa Ndaki ya Tiba katika Kampasi ya Mloganzila, ikiwa ni sehemu ya kufuatilia maendeleo ya mradi huo mkubwa wa kitaifa wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET ). Ziara hiyo ililenga kukagua […]