Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Francis Michael na Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania Prof. Penina Muhando wakipata maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na MUHAS kutoka kwa Afisa Habari na Mawasiliano (MUHAS), Bi. Neema Edwin wakati walipotembelea Banda la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi, Muhimbili kwenye maonesho ya 17 Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yaliyoandaliwa na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, Maonesho hayo yamefungwa leo.