skip to Main Content
P.O. Box 65001, MUHAS,Dar es Salaam webmaster@muhas.ac.tz 0752360543 / 0756265177 - Admission Office

MUHAS kupitia kitengo cha Programu ya Jinsia ( Gender Program Unit) wamefanya semina ya mwongozo wa fani za afya na Sayansi Shirikishi kwa wanafunzi wa kike wa shule za sekondari wilaya ya Ilala.

Kupitia semina hiyo wanafunzi waliwenza kupata fursa ya kujua programu mbalimbali za afya zinazotolewa MUHAS na vigenzo vyake kuanzia ngazi ya Diploma mpaka Digrii.

Pia Mkuu wa Kitengo cha Programu ya Jinsia Dkt. Hawa Mbawala aliwapatia elimu na muongozo wa kufia ndoto za kuwa madaktari, wauguzi, wafamasia, wataalamu wa elimu ya jamii.

Mafunzo hao yaliweza kuhudhuriwa na wanafunzim kutoka Kisutu, Jangwani, Tambaza, Benjamini Mkapa, Tusiime na Almuntazir.

Mkuu wa Kitengo cha Programu ya Jinsia Dkt. Hawa Mbawala akitoa semina kwa wanafunzi
Wanafunzi wakimsikiliza mtoa mada wakati wa semina chuoni hapo
Mkuu wa Kitengo cha Kudahili Ms. Renista Mkoba akiwaeleza wanafunzi kuhusu programu zinazotolewa MUHAS na vigezo vyake